JABIR MTOTO WA KITANZANIA MOTO WA KUOTEA MBALI KATIKA SOKA ULAYA, AITWA AJAX

 



Mtoto Jabir Seif mwenye umri wa miaka 15 ambaye yupo  katika Academy ya SPF Valencia nchini Spain , ameonesha kipaji chake kikubwa katika soka kiasi cha hivi sasa kuitwa kujiunga na timu ya Ajax nchini Uholanzi ambako ataungana pia na wadodo zake Tariq (13) na Barka Seif (8) ambao pia wameitwa kwenye timu hiyo kutokana na umahiri wao katika mchezo huo.

Mtoto Barka hivi karibuni akiwa na familia yake na Kocha wake Martine alitambulishwa  bungeni Dodoma.

Jabir (kulia) akiwa na wadogo zake Tareq (kushoto), Barka pamoja na babao mzazi Seif Mpanda.

Mdau, nakuomba uendelee kuona kupitia clip hii ya video, Jabir akifanya vitu vyake katika Academy ya SPF Spain....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...