JABIR MTOTO WA KITANZANIA MOTO WA KUOTEA MBALI KATIKA SOKA ULAYA, AITWA AJAX

 



Mtoto Jabir Seif mwenye umri wa miaka 15 ambaye yupo  katika Academy ya SPF Valencia nchini Spain , ameonesha kipaji chake kikubwa katika soka kiasi cha hivi sasa kuitwa kujiunga na timu ya Ajax nchini Uholanzi ambako ataungana pia na wadodo zake Tariq (13) na Barka Seif (8) ambao pia wameitwa kwenye timu hiyo kutokana na umahiri wao katika mchezo huo.

Mtoto Barka hivi karibuni akiwa na familia yake na Kocha wake Martine alitambulishwa  bungeni Dodoma.

Jabir (kulia) akiwa na wadogo zake Tareq (kushoto), Barka pamoja na babao mzazi Seif Mpanda.

Mdau, nakuomba uendelee kuona kupitia clip hii ya video, Jabir akifanya vitu vyake katika Academy ya SPF Spain....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI