NG'OMBE 'KIKWETE' AWA KIVUTIO MAONESHO YA NANE NANE DODOMA

 

 Ng'ombe mwenye uzito zaidi ya kilo 700 kutoka Mpwapwa, ambaye kutokana na kilo zake kuwa nyingi amepewa jina la Mheshimiwa Kikwete (pichani amekuwa kivutio kikubwa kwenye paredi ya mifugo iliyoshuhudiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki na Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamula wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati Nzuguni Dodoma Agosti 5, 2022.


Mfugaji wa ng'ombe huyo, George Magaya

Baadhi ya wananchi walioshuhudia paredi hiyo


Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Senyamule akipongezana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki wakati wa paredi hiyo ya mifugo.

Pia utamsikia kwenye clip ya video mfugaji wa ng'ombe huyo George Magawa akielezea jinsi anavyomfuga kiustadi kiasi cha ng'ombe huto kuwa na kilo hizo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎