NJOONI RITA MPATE VYETI VYA KUZALIWA, ELIMU YA MIRATHI,TALAKA+video



Wananchi wakiwa wamefurika kwenye Banda la Wakala wa Usajili wa Ufilisi na Udhamini (RITA) kupata huduma za vyeti vya kuzaliwa, elimu ya mirathi, talaka na udhamini wakati waMaonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Sheria kwenye viunga vya Nyerere Square jijini Dodoma Januari 26, 2023.

Afisa Sheria wa RITA, Emmanuela Mwingira ametoa mwito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupata huduma hizo muhimu.












 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwingira pamoja na mambo mengine akiwaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda Banda la RITA kupata huduma hizo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR