BALOZI NCHIMBI ANG'ARA BUNGENI

Katibu Mkuu akzungumza jambo na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Bupe Mwakang'ata. kwenye viwanja vya Bunge baada ya kushuhudia uwasilishwa wa Bajeti ya Serikali 2024/2025 bungeni Dodoma Juni 13, 2024
Katibu Mkuu akiteta jambo na Mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga kwenye viwanja vya Bunge baada ya kyshuhudia uwasilishwa wa Bajeti ya Serikali 2024/2025 bungeni Dodoma Juni 13, 2024.

Akizungumza na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Regina Ndege.

Akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo.
Akizungumza jambo na Mbunge wa Viti Maalumu, Khadija Taya maarufu Keisha.

Akizungumza na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Gwau.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAS KILIMANJARO NA DEREVA WAFARIKI KWA AJALI, MKUU WA MKOA ADHIBITISHA

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA TIXON NZUNDA

JKCI YASHIRIKI KAMPENI YA AFYA CHECK KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MOYO

CRDB BUNGE BONANZA LAFANA DODOMA

BALOZI NCHIMBI AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU, MGOMBEA URAIS WA FRELIMO

BALOZI NCHIMBI AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA NZUNDA SONGWE

MBUNGE MBOGO AWAALIKA BUNGENI VIONGOZI UWT KATAVI

DKT NCHIMBI AUNGURUMA KILIMANJARO

NJOO UJIUNGE NA CHUO MARIDADI CHA AFYA CHA KAM