NSSF YAPUNGUZA SIKU ZA KULIPA MAFAO KUTOKA 60 HADI 30

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari – MAELEZO jijini Dodoma Machi 17, 2025, ambapo ameelezea mafanikio lukuki ya mfuko huo, kuelekea maadhimisho ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. 

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.

Maafisa wa NSSF wakijadiliana jambo.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69