WACHEZAJI WA YANGA SC WAPEWA LIKIZO


šŸ”°...Baada ya mchezo dhidi ya Coastal Union kutamatika hapo jana wachezaji wa klabu ya Young Africans Sports Club wamepewa mapumziko ya takribani siku 6 kuanzia leo hivyo wanatakiwa kurudi mazoezini siku ya Jumatano ya tarehe 19.03.2025.

šŸ”°...Mazoezi hayo yatakuwa maalumu kwa michezo ijayo hususani mchezo wa #NBCPremierLeague dhidi ya Tabora United utakaopigwa tarehe 01, Aprili 2025.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA