YANGA SC YAPELEKA MALALAMIKO CAS BAADA YA KUTORIDHISHWA NA TFF

Baada ya kutoridhishwa na majibu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), klabu ya Yanga SC leo jioni imewasilisha rasmi malalamiko yake katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS).

Yanga SC imeeleza kutokuwa na imani na Bodi ya Ligi (TPLB) na haijakubaliana kabisa na majibu yaliyotolewa na TFF. Kutokana na hali hiyo, klabu hiyo imeamua kuchukua hatua zaidi kwa kuipeleka kesi hiyo CAS ili kudai haki yao.

Kwa sasa, malalamiko hayo tayari yamewasilishwa, na kinachosubiriwa ni taratibu za usikilizwaji wa kesi hiyo katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69