ASKOFU CHANDE ATOA MSAADA WA MAZIWA, AWAOMBEA WATOTO NJITI


 Askofu Evance Chande wa Kanisa la Assemblies of God (KAG) la Ipagala jijini Dodoma, amewaongoza waumini wa kanisa hilo kutoa msaada wa maziwa kwa watoto wanaozaliwa njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma Aprili 15, 2025.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

SHEREHE ZA DKT. CHANDE KUSIMIKWA UASKOFU MKUU KANISA LA KARMELI ZAFANA

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

YANGA YACHINJA NG'OMBE 20 ZA PILAU TABORA