YANGA YACHINJA NG'OMBE 20 ZA PILAU TABORA

Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe leo (March 31) saa sita (6:00) mchana anawaalika mashabiki na wanachama wa Yanga mkoa wa Tabora katika uwanja wa Chipukizi kwa ajili ya kula pilau pamoja kwenye sikukuu ya Eid.

Kuna zaidi ya ng'ombe 20 zitachinjwa kesho March 31 kwa ajili ya mashabiki na wanachama.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA