ASKOFU CHANDE ATOA TUZO KWA RAIS SAMIA KUBORESHA HUDUMA SEKTA YA AFYA


 Harakati za Mwaikenda zinakuletea baadhi ya mambo yaliyojiri wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Kanisa la Karmeli Assemblies of God (KAG) katika Kata ya Chifutuka Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, ambapo mambo yalianza kwa burudani za kila aina ikiwemo ngoma hii ya kabila la wasukuma.

Hapa ni Askofu Mkuu wa kanisa la Karmeli, Dkt. Evance Chande akitoa pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya kuboresha huduma za afya hadi vijijini.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

HATUNA TISHIO LA USALAMA MWANZA, HAKUNA WA KUJITANGAZIA JAMHURI YAO - RC MTANDA