AIJUAE SIRI YA MTUNGI AELEZA MAKUBWA KUHUSU DKT. SAMIA

Mwanamke Mkazi wa Kigoma, akielezea kuhusu siri ya mtungi aliobeba pamoja na mafanikio lukuki yaliyopatikana katika kipindi cha miaka minne cha uongozi wa Dkt. Rais Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan eneo la Kazuramimba, Uvinza mkoani Kigoma Septemba 13, 2025.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA