AKINA MAMA MAKUNDUCHI WATOA AHADI NZITO KWA DKT. SAMIA, DKT. MWINYI

Baadhi ya wanawake wakazi wa Makunduchi Zanzibar wakielezea jinsi walivyonufaika na uongozi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgombea Urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa kuwajengea shule nzuri za ghorofa na hospitali za kisasa.

Wanawake hao walishiriki katika mkutano wa kampeni za wagombea hao eneo la Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar Septemba 17, 2025




 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE