CHATANDA ATINGA KATA YA KIBADA WILAYANI KIGAMBONI KUNADI SERA ZA WAGOMBEA WA CCM.


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania UWT Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) apokelewa na Wanachama na Viongozi wa CCM Mkoa wa DSM na UWT Wilaya ya Kigamboni mara baada ya kuwasili Kata ya Kibada na kuongea na Wachama wa CCM kwa lengo la kuhakikisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni Allan Nyakisa Sanga, Madiwani wa Kata zote Tisa za Wilaya ya Kigamboni pamoja na Dkt. Samia Suluhu Hassan wanapata Ushindi Mkubwa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Mwezi Oktoba 29, 2025.








Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE