KAMPENI ZA CCM ZA KIJIJI KWA KIJIJI: KILA KIJIJI KINATOA HAMASA YA AINA YAKE

Jana, Prof Sospeter Muhongo alipiga Kampeni kwenye vijiji viwili (Chimati & Chitare) vya Kata ya Makojo.


Vijiji hivi tayari vimefikishiwa umeme na maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria. Usambazaji unaendelea kwenye ngazi ya vitongoji.

Kwa maendeleo yaliyokwishapatikana, vijiji hivi vimeamua kutoa kura nyingi sana kwa wagombea wote wa CCM, wakiongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Hamasa: tafadhali sikiliza muziki (Video/Clip iliyoambatanishwa hapa) utokao kwenye gita za zamani za Wanamuziki wa Kijijini Chimati.

Kamati ya Uchaguzi
Jimbo la Musoma Vijijini 

Wed, 17 Sept 2025



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA