URAMBO WAWEKA WAZI KUMPIGIA KURA DKT. SAMIA

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora wakielezea jinsi wanafurahishwa na uongozi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt Samia Suluhu Hassan na kuahidi kumpigia kura Oktoba 29, 2025.

Wametoa ahadi hiyo wakati wa mkutano wa kampeni za CCM katika Uwanja wa Samora, Urambo Septemba 11, 2025.



 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA