๐——๐—ž๐—ง. ๐— ๐—œ๐—š๐—œ๐—ฅ๐—ข ALAKIWA KWA SHANGWE LAMADI, KAMPENI ZA DKT. SAMIA

 Maelfu ya Wananchi wa Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu wakiwa pamoja na Viongozi mbalimbali wa Chama na Jumuiya, Viongozi wa Dini na Machifu kwa umoja wao wamempokea Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro leo tarehe 9 Oktoba 2025.

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Migiro ametanguliza salamu za upendo na ujio wa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป ambaye pamoja na kuja kusalimia, atanadi ilani ya CCM, Sera na Ahadi zake na kuomba kuwa kwa mafiga matatu.

#SafariYaCCM
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#Oktoba29Tunatiki๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ✅







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AWASILI ZANZIBAR