DKT. NCHIMBI 'AUWASHA MOTO' JIMBO LA ILONGERO SINGIDA


PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi  akiwasili katika uwanja wa CCM uliopo kata ya Ilongero, jimbo la Ilongero,wilaya ya Singida Vijijini kuwahutubia,kuomba kura, kunadi sera na Ilani ya CCM ya 2025-2030 kwa Wananchi kwenye mkutano wake  wa hadhara wa kampeni  leo  Oktoba 14, 2025 mkoani Singida.








 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA