MAELFU WAITIKA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MBOGWE, GEITA

Umati mkubwa wa wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliojitokeza leo kwenye Viwanja vya Masumbwe, Wilayani Mbogwe Mkoani Geita leo Jumapili Oktoba 12, 2025 kumlaki na kumsikiliza Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeanza ziara yake ya Kampeni katika Mkoa huo akitokea Mkoani Shinyanga.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

DKT. SAMIA AWASILI ZANZIBAR

DKT. SAMIA AAHIDI KUJENGA CHUO CHA UHASIBU SONGEA