RAIS SAMIA AMPONGEZA MUSEVENI KWA USHINDI WA URAIS


Rais Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais Mteule wa Uganda, Yoweri Museveni kwa kuchaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo.

Katika ujumbe wake, Rais Samia amesema ushindi wa Rais Museveni unaakisi imani na dhamana kubwa ambayo wananchi wa Uganda wanaendelea kuwa nayo kwake, huku akiahidi kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo kwa maslahi ya wananchi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR