AINA TOFAUTI ZA WANAUME



1: MUME DIGRII
Hufanya mambo peke yake bila kushauriana na mkewe. Hukaa sana na marafiki kuliko mkewe. Hajali maisha ya ndoa kwa uzito.

2: MUME ASIDI.
Daima huchemka kama asidi na huwa na hasira kali, mchoyo, mtawala na hatari sana.

3: MUME MTUMWA
Anataka kutendewa kama Mfalme lakini anamtendea Mkewe kama Mtumwa. Anapenda mke kutekeleza heshima ya mila ya zamani na anachukia kuitwa kwa jina lake la kwanza.

4: MUME  MTU
Mume kwa kila mwanamke. anapendwa na Kila  Mwanamke na kujali michepuko anapenda Wanawake wa njebkuliko mkewe. Anapenda kuwapa pesa michepuko na anapenda marafiki wa kike.

5: MUME MKAVU 
Mchoyo choyo sana na , hafikirii maslahi ya mkewe, hafanyi uhusiano uwe wa kufurahisha tu na si wa maendeleo. Hana ucheshi na Mke wake.

 6: MUME PANADOL
Humtumia mke kama mtatuzi wa matatizo, humpenda tu mke anapohitaji kitu kutoka kwake. Ni mwerevu na anajua udhaifu wa mkewe na hutumia hilo kupata nafuu kutoka kwa mkewe.

7: MUME PARASITE.
Mvivu na humpenda mke kwa ajili ya pesa tu. Hutumia pesa za mkewe  kwa marafiki wa kike. Hakuna mpango wowote na hamsaidii mkewe  kwa majukumu ya nyumbani.

8: MUME BABY 
Hana uwajibikaji na ni Baby na hawezi kufanya maamuzi peke yake bila kumuuliza mama yake au jamaa zake; anamtii mkewe kwa maagizo ya jamaa na hivyo kuwakimbilia ndugu zake mambo yanapoenda vibaya.

9: MUME KIGUU NA NJIA
Hashindi nyumbani kila wakati, huja kama mgeni. Hutoa familia kwa vitu vyote vya kimwili lakini hana muda wa kuvitumia Kwa pamoja.

10: MUME ANAYEJALI
Anajali na ana upendo; hutoa mahitaji ya kimwili na kihisia na hutenga muda wa familia. Anaongoza nyumbani kiroho. Anawajibika sana na humtendea mke kama mshirika na msaidizi.

 USHAURI KWA BIBI HARUSI MWEMA KWA

Hakikisha unamchunguza mwanaume wako vizuri na unamjua ukoo  anaotoka kabla ya kusema nafanya hivyo ili usijitwishe mzigo baadaye‼️



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI

PUNGUZA STRESS....