BARAZA KUU LA UWT LATOA TUZO KWA KATIBU MKUU WA CCM


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) kupitia kikao cha Baraza Kuu la UWT kilichoketi leo Februari 14, 2026, katika ukumbi wa NEC jijini Dodoma, ametoa tuzo ya pongezi kwa Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Asha-Rose Migiro kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo ikiwa ni mara ya kwanza toka kuzaliwa kwa CCM, kwa nafasi hiyo kuongozwa na Mwanamke jambo ambalo ni historia katika medani za siasa ndani ya CCM.

Mary Chatanda akikabidhi tuzo hiyo kwa Makamu Mwenyekiti wa UAT, Zainabu Shomari kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Migiro.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA