KATIBU MKUU WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU) AWASILI NCHINI

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Bw. Martin Chungong amewasili nchini usiku wa kuamkia leo Februari 27, 2026 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa ajili ya kushiriki hafla ya  Uwekaji Saini Mkataba wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano wa 153 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) utakaofanyika Oktoba 2026 Jijini Arusha.


Hafla hiyo ya uwekaji saini inafanyika leo Februari 27, 2026 katika Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam ambapo Bw. Chungong na Spika wa Bunge, Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu wataweka saini mkataba huo.







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI

PUNGUZA STRESS....