MWAMUZI ATAKAYETHUBUTU KUHARIBU DABI KUFUNGIWA, KUSHITAKIWA - KARIA

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia amesema mwamuzi yeyote atakayeharibu mchezo wa kesho wa dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, watamfungia maisha kujihusisha na mpira wa miguu.

Akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa 20 wa TFF unaofanyika hapa Kahama, Karia, amesema mbali na kumfungia maisha pia watamfungulia mashataka.

"Naomba niseme hapa kwenye mkutano mkuu na waamuzi wanisikie, atakayeharibu mchezo wa kesho hatutamuacha salama, malalamiko yamekuwa mengi na yanaharibu taswira ya mchezo," amesema Karia.



 


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

PUNGUZA STRESS....

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI