Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa wa Chama Cha Mapinduzi Tganzania (UWT), Mary Chatanda akielezea ushindi mkubwa alioupata Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wa asilimia 97 katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Chatanda ambaye pamoja na mambo mengine alipokuwa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu la UWT Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma Februari 14, 2026, amesema kuwa ushindi huo mkubwa kwa asilimia kubwa umechangiwa na wanawake kutokana na mkakati mkubwa ulioratibiwa na UWT. .

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA