RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI AFRIKA



RAIS Dk Samia Suluhu Hassan akiwasili katika jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (CAHOSCC) wa mwaka 2026, Februari 13, 2026, jijini Addis Ababa, Ethiopia, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, Dk William Ruto.


Kikao hiki muhimu, kinachofanyika kuelekea Mkutano wa 39 wa Umoja wa Afrika (Februari 14-15), kinalenga kuharakisha hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na kuimarisha msimamo wa pamoja wa Afrika katika suala zima la mabadiliko ya tabia nchi.








 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA