UWT YAZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUELIMISHA JAMII UMUHIMU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE



Naibu Waziri wa Afya, Dkt.Florence Samizi akizindua Mpango Mkakati Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), wa kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa Bima ya Afya kwa Wote.

Uzinduzi huo umefanyika wakati wa mafunzo kwa wajumbe wa Baraza Kuu la UWT kwenye ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM Dodoma leo Februari 14,2026.

Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti wa wa UWT, Mary Chatanda (wa pili kulia), Makamu Mwenyekiti wa UWT, Zainabu Shomari (kulia) na Katibu Mkuu wa umoja huo,Suzan Kunambi.


Shomari akimvisha shada mpango huo Dkt. Samizi.
Dkt. Samizi akionesha mpango huo.


Samizi akimkabidhi mpango huo Zainabu Shomari.
Viongozi wakionesha mpango huo.

 Baadhi ya wajumbe wakiwa na mpango huo.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA