VIONGOZI WA BUNGE WAPIGWA MSASA JUU YA UONGOZI WA KIMKAKATI UENDESHAJI WA SHUGHULI ZA BUNGE

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Uongozi, Ndg. Kadari Singo, akiwasilisha mada kuhusu Uongozi wa kimkakati katika Uendeshaji wa Shughuli za Bunge wakati wa mafunzo kwa Kamati ya Uongozi, Tume ya Utumishi wa Bunge na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika  Februari 17, 2026 katika Ofisi ndogo za Bunge, Tunguu-Zanzibar.

Mafunzo hayo ya siku tatu (3)  yanategemewa kuhitimishwa  Februari 18, 2026.

Viongozi mbalimbali wa Bunge wameshiriki katika mafunzo hayo akiwemo Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu, Naibu Spika, Mhe. Daniel Sillo na Katibu wa Bunge, Ndg. Baraka Leonard.


 Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu (katikati), Naibu Spika, Mhe. Daniel Sillo (kushoto) na Katibu wa Bunge, Ndg. Baraka Leonard.


Mwenyekiti wa Bunge, Deodatus Mwanyika

Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga.
Mwenyekiti wa Bunge, Cecilia Pareso.

Mjumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge, Dkt. Doto Biteko.











 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO