TAKRIBANI MAAFISA 40 WA IRAN WATHIBITISHWA KUUAWA

Maafisa kadhaa waandamizi nchini Iran wanajulikana kuuawa katika mashambulizi ya Jumamosi dhidi ya nchi hiyo.

Miongoni mwao ni:

  • Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran, ambaye aliuawa Jumamosi asubuhi katika ofisi yake.
  • Televisheni ya Iran imeripoti kuwa mkuu wa majeshi ya nchi hiyo, Abdolrahim Mousavi, aliuawa katika mashambulizi ya anga.
  • Tehran pia imethibitisha kifo cha kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi, Jenerali Mohammad Pakpour.
  • Vyombo vya habari vya serikali pia vimeripoti kuwa binti wa Khamenei, mkwe wake na mjukuu wake waliuawa katika shambulizi hilo.
  • Chanzo cha kijasusi na chanzo cha kijeshi vimeiambia CBS News kuwa kwa jumla maafisa wa Iran takribani 40 waliuawa katika mashambulizi hayo.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

PUNGUZA STRESS....

MAJESHI YA URUSI CHINA NA IRANI YAANZA MAZOEZI YA PAMOJA DHIDI YA MAREKANI