Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji Serikali bungeni Dodoma Mei 18, 2026, kwamba ina mipango gani ya kuwaunga mkono wananchi kusaidia ujenzi wa Kituo cha Afya Lugenge katika Jimbo la Njombe Mjini ambacho yeye na wananchi wametoa mchango kuanzisha ujenzi wake? Mwanyika amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni na kujibiwa na Naibu Waziri TAMISEMI, Dkt. Festo Ndugange.IMENDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji Serikali bungeni Dodoma Mei 18, 2026, kwamba ina mipango gani ya kuwaunga mkono wananchi kusaidia ujenzi wa Kituo cha Afya Lugenge katika Jimbo la Njombe Mjini ambacho yeye na wananchi wametoa mchango kuanzisha ujenzi wake? Mwanyika amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni na kujibiwa na Naibu Waziri TAMISEMI, Dkt. Festo Ndugange.IMENDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments