CHABA AWAONGOZA WAHADZABE KUIPAMBA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Chaba amewaongoza Wahadzabe wenzake kuipamba Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii waliposhirikishwa kumlaki Waziri wa Wizara ya hiyo, Dkt. Ashatu Kijaji alipowasili na mkoba wa Bajeti kwenye viunga vya Bunge jijini Dodoma Mei 15, 2026.

Chaba na Jamii hiyo ya Kihadzabe waligeuka kivutio kikubwa kwenye viwanja vya Bunge ambapo baadhi ya mawaziri, wabunge, watumishi wa bunge, waandishi wa habari na wageni walikuwa wanaomba kupiga nao na picha hasa Chaba.










 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA