RAIS WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA MADAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO DUNIANI (FDI) DR. NIKOLAI SHARKOV AFURAHISHWA NA MAONESHO YA PILI YA BIDHAA ZA KINYWA NA MENO ZA KIMATAIFA (DENTAL EXPO) DAR ES SALAAM.

 Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya, Kinywa na Meno kutoka Wizara ya Afya Dkt. Baraka Nzobo akitoa ufafanuzi kwa Rais wa Shirika la Kimataifa la madaktari wa meno Duniani (FDI) Dr. Nikolai sharkov alipotembelea moja ya Banda katika Ukumbi wa Mlimani City wakati wa Maonesho ya Pili ya Bidhaa za Kinywa na Meno za Kimataifa ( Dental EXPO) leo Mei 28 Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Mei 30,2026.

 Afisa Uhusiano Mwandamizi na Elimu kwa Umma wa NSSF Mery Myamba akimkabidhi Zawadi Rais wa Shirika la Kimataifa la Madaktari wa Maeno Duniani (FDI) Dr. Nikolai sharkov wakati wa Maonesho ya Pili ya Bidhaa za Kinywa na Meno za Kimataifa ( Dental EXPO) leo Mei 28 Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Mei 30,2026. (NA KHAMISI MUSSA).

 Katibu Mstaafu wa Chama cha Wataalamu wa Afya ya Kinywa na Meno Dkt. Gustav Rweykaza akizungumza na Rais wa Shirika la Kimataifa la madaktari wa meno Duniani (FDI) Dr. Nikolai sharkov alipotembelea Banda la chama hicho katika Ukumbi wa Mlimani City wakati wa Maonesho ya Pili ya Bidhaa za Kinywa na Meno za Kimataifa ( Dental EXPO) leo Mei 28 Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Mei 30,2026.

 
Dkt. wa Kinywa na Meno wa Kampuni ya WHITEDENT Dr. Erick Syli akizungumza na Rais wa Shirika la Kimataifa la madaktari wa meno Duniani (FDI) Dr. Nikolai sharkov alipotembelea Banda la Kampuni hiyo katika Ukumbi wa Mlimani City wakati wa Maonesho ya Pili ya Bidhaa za Kinywa na Meno za Kimataifa ( Dental EXPO) leo Mei 28 Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Mei 30,2026.

Rais wa Shirika la Kimataifa la Madaktari wa Maeno Duniani (FDI) Dr. Nikolai sharkov akiwa katika picha ya Pamoja na baadhi ya washiriki katika Ukumbi wa Mlimani City wakati wa Maonesho ya Pili ya Bidhaa za Kinywa na Meno za Kimataifa ( Dental EXPO) leo Mei 28 Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambayo yanatarajiwa kumalizika Mei 30,2026.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI