MAHAFALI YA 14 CHUO KIKUU TUNGUU, ZANZIBAR YAFANYIKA



Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za   Mahfali ya 14 yaliyofanyika leo Desemba 7, 2016, Tunguu Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein. (PICHA NA IKULU YA ZANZIBAR)

Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za   Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za   Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za   Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi zawadi Mhitimu Zuwena Salim Mohamed akiwa ni miongoni mwa Wahitimu waliofanya vizuri zaidi katika masomo yao katika sherehe ya Mahfali ya kumi na nne (14) ya Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) kilichopo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi zawadi Mhitimu Samiya Sulaiman Seif, miongoni mwa Wahitimu waliofanya vizuri zaidi katika masomo yao katika sherehe ya Mahfali ya kumi na nne (14) ya Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) kilichopo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikatI) na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (kushoto) wakisimama wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa katika Sherehe za   Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja

Walimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za   Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein

Walimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za   Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA