DKT MPANGO AIPONGEZA WIZARA YA ELIMU, AWAKABIDHI MAMILIONI WABUNIFU

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikabidhi mfano wa hundi zenye mamilioni ya fedha kwa washindi wa ubunifu wakati wa hafla ya kufunga rasmi Maonesho ya Wiki ya Ubunifu/MAKISATU kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini  Dodoma leo Mei 19, 2022.
Maonesho hayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) na Waziri wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda (kulia).



Baadhi ya wabunifu waliopatiwa tuzo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais, Dkt Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa  pamoja na viongozi wengine.

 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI