DKT MPANGO AIPONGEZA WIZARA YA ELIMU, AWAKABIDHI MAMILIONI WABUNIFU

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikabidhi mfano wa hundi zenye mamilioni ya fedha kwa washindi wa ubunifu wakati wa hafla ya kufunga rasmi Maonesho ya Wiki ya Ubunifu/MAKISATU kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini  Dodoma leo Mei 19, 2022.
Maonesho hayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) na Waziri wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda (kulia).



Baadhi ya wabunifu waliopatiwa tuzo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais, Dkt Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa  pamoja na viongozi wengine.

 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI