DKT MPANGO AIPONGEZA WIZARA YA ELIMU, AWAKABIDHI MAMILIONI WABUNIFU

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikabidhi mfano wa hundi zenye mamilioni ya fedha kwa washindi wa ubunifu wakati wa hafla ya kufunga rasmi Maonesho ya Wiki ya Ubunifu/MAKISATU kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini  Dodoma leo Mei 19, 2022.
Maonesho hayo yameandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Hafla hiyo imehudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) na Waziri wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda (kulia).



Baadhi ya wabunifu waliopatiwa tuzo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais, Dkt Mpango, Waziri Mkuu Majaliwa  pamoja na viongozi wengine.

 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA