GENZABUKE AMPONGEZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KUHAMASISHA KILIMO CHA MICHIKICHI KOGOMA+video

 

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke, amempongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kuhamasisha kilimo cha Michikichi mkoani Kigoma.

Aidha, Genzabuke amemshukuru Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kumpatia miche 3000 ya michikichi na kuomba amuongeze mingine ili aendelee kuisambaza kwa wakulima na hasa wanawake mkoani humo. Ametoa pongezi na shukrani hizo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 18, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA