GENZABUKE AMPONGEZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KUHAMASISHA KILIMO CHA MICHIKICHI KOGOMA+video

 

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke, amempongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kuhamasisha kilimo cha Michikichi mkoani Kigoma.

Aidha, Genzabuke amemshukuru Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kumpatia miche 3000 ya michikichi na kuomba amuongeze mingine ili aendelee kuisambaza kwa wakulima na hasa wanawake mkoani humo. Ametoa pongezi na shukrani hizo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 18, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI