GENZABUKE AMPONGEZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KUHAMASISHA KILIMO CHA MICHIKICHI KOGOMA+video

 

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke, amempongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kuhamasisha kilimo cha Michikichi mkoani Kigoma.

Aidha, Genzabuke amemshukuru Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kumpatia miche 3000 ya michikichi na kuomba amuongeze mingine ili aendelee kuisambaza kwa wakulima na hasa wanawake mkoani humo. Ametoa pongezi na shukrani hizo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 18, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026