GENZABUKE AMPONGEZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KUHAMASISHA KILIMO CHA MICHIKICHI KOGOMA+video

 

 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke, amempongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kuhamasisha kilimo cha Michikichi mkoani Kigoma.

Aidha, Genzabuke amemshukuru Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kumpatia miche 3000 ya michikichi na kuomba amuongeze mingine ili aendelee kuisambaza kwa wakulima na hasa wanawake mkoani humo. Ametoa pongezi na shukrani hizo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 18, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI