WAZIRI NAPE ANYOOSHA MAMBO, BAJETI YA WIZARA YAKE YAPITISHWA+video



Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na Naibu wake, Mhandisi Kundo Mathew wakipongezwa na wabunge wenzao pamoja na mawaziri baada ya Bajeti ya Wizara hiyo kupitishwa bungeni Dodoma Mei 20, 2022
Nape akihitimisha mjadala wa makadirio ya Bajeti ya wizara yake


Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo  akijibu baadhi ya hoja za wabunge.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA 

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Nape akihitimisha hoja ya Bajeti ya wizara  hiyo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR