WAZIRI NAPE ANYOOSHA MAMBO, BAJETI YA WIZARA YAKE YAPITISHWA+video



Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na Naibu wake, Mhandisi Kundo Mathew wakipongezwa na wabunge wenzao pamoja na mawaziri baada ya Bajeti ya Wizara hiyo kupitishwa bungeni Dodoma Mei 20, 2022
Nape akihitimisha mjadala wa makadirio ya Bajeti ya wizara yake


Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo  akijibu baadhi ya hoja za wabunge.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA 

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Nape akihitimisha hoja ya Bajeti ya wizara  hiyo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI