WAZIRI NAPE ANYOOSHA MAMBO, BAJETI YA WIZARA YAKE YAPITISHWA+video



Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na Naibu wake, Mhandisi Kundo Mathew wakipongezwa na wabunge wenzao pamoja na mawaziri baada ya Bajeti ya Wizara hiyo kupitishwa bungeni Dodoma Mei 20, 2022
Nape akihitimisha mjadala wa makadirio ya Bajeti ya wizara yake


Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo  akijibu baadhi ya hoja za wabunge.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA 

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Nape akihitimisha hoja ya Bajeti ya wizara  hiyo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎

KOCHA WA MC ALGERS AIHOFIA YANGA

MAMBO 16 USIYOYAJUA KUHUSU RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥