BUTONDO:TUNAOMBA AMBULANCE IKASAIDIE TARAFA YA MONDO KISHAPU+video

 Mbunge wa Kishapu, Boniface Butondo ameiomba serikali kufanya jitihada ya kupeleka gari la wagonjwa (Ambulance) katika Kituo cha Afya kilichopo Tarafa ya Mondo wilayani Kishapu.

Butondo ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma leo Juni 9, 2022 na kujibiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt Festo Ndugange....

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Butondo akipambania ambulance hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO