RAIS SAMIA AWAALIKA IKULU SERENGETI GIRLS

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Samia Suluhu Hassan leo amewaalika Ikulu, Jijini Dar es Salaam wachezaji wa timu ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Gils kabla kuwapongeza kwa kufuzu Fainali za Kombe la Dunia.



Pichani ni Rais Samia akiwa na akiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, Katibu wa Wizara hiyo Dkt. Hassan Abbasi, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia na wachezaji wa Serengeti Girls kabla ya hafla ya kuwapongeza iliyofanyika  leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND