RAIS SAMIA AWAALIKA IKULU SERENGETI GIRLS

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Samia Suluhu Hassan leo amewaalika Ikulu, Jijini Dar es Salaam wachezaji wa timu ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Gils kabla kuwapongeza kwa kufuzu Fainali za Kombe la Dunia.



Pichani ni Rais Samia akiwa na akiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, Katibu wa Wizara hiyo Dkt. Hassan Abbasi, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia na wachezaji wa Serengeti Girls kabla ya hafla ya kuwapongeza iliyofanyika  leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI