RAIS SAMIA AWAALIKA IKULU SERENGETI GIRLS

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Samia Suluhu Hassan leo amewaalika Ikulu, Jijini Dar es Salaam wachezaji wa timu ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Gils kabla kuwapongeza kwa kufuzu Fainali za Kombe la Dunia.



Pichani ni Rais Samia akiwa na akiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, Katibu wa Wizara hiyo Dkt. Hassan Abbasi, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia na wachezaji wa Serengeti Girls kabla ya hafla ya kuwapongeza iliyofanyika  leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA