VIONGOZI WA DINI, MBUNGE WAUNGANA NA RAIS SAMIA KAMPENI YA UHAMASISHAJI SENSA+video

Viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma pamoja na Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Wafanyakazi wamefanya mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma Agosti 15,2022, kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika Kampeni ya Uhamasishaji Sensa ya Watu na Makazi inayotarajia kiufanyika Agosti 23 nchini.Kutoka kushoto ni; Katibu wa BAKWATA Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu,Mwenyekiti wa Maridhiano Mkoa wa Dodoma, Askofu Dkt Evance Chande, Mbunge wa Viti Maalumu Mwakilishi wa Wafanyakazi, Dkt. Alice Kaijage, Nurdin Mohamed kutoka Baraza la Mashehe BAKWATA wilaya Dodoma na Mchungaji John Salenge.
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia kundi la Wafanyakazi, Dkt Alice Kaijage (katikati) akitoa wito kwa watanzania na wafanyakazi wote kushiriki vyema katika sensa ya watu na makazi.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano huo.

PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, viongozi hao wa dini na mbunge wakielezea umuhimu wa sensa....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA