KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA NHC UJENZI WA MAJENGO 8 YA SERIKALI MTUMBA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Vuma Augustino ameelezea jinsi wajumbe wa kamati hiyo walivyoridhishwa na kasi ya ujenzi ya majengo nane ya ofisi za serikali unaofanywa na S‏hirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika Mji wa kiserikali wa Mtumba Makao Makuu ya Nchi Dodoma.


Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari baada wajumbe wa kamati hiyo kukagua maendeleo ya ujenzi huo Oktoba 26, 2024..


Mwenyekiti wa kamati hiyo, Augustino (katikati) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Hamad Abdallah (kushoto) pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mary Masanja wakiwaongoza wajumbe kutembelea miradi hiyo.

Wakiendelea  kukagua miradi hiyo.
Moja ya viyoyozi vilivyowekwa katika majengo hayo ambayo ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 87.
Wakiingia kwenye lift zilizowekwa kwenye majengo hayo.
Wakiendelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo hayo



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO

JINSI BINTI HUYU MWANAFUNZI ANAVYOIPENDA MITI

NDOGO WA MUME WANGU ALIKUWA EX WANGU