Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila akiwahamasisha wanawake kujitokeza kwa wiki kugombea uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani humo.
Ametoa wito huo wakati wa ziara yake aliyoifanya hivi katibuni katika Kata mbalimbali mkoani humo.
Baadhi ya wanawake walioshiriki kikao hicho cha ndani.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments