HII NDIO MAANA YA UBAYA UBWELA | YANGA IMECHUKUA MAKOMBE YOTE KUANZIA MWAKA 2021 NA KUACHA MOJA TU๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ”ฐ...Haya hapa mataji ya Young Africans Sports Club๐ŸŸข kuanzia mwaka 2021 mpaka sasa ndani ya Tanzania. 

โ—‡ Ubingwa wa ngao ya jamii 2021โœ…๏ธ
โ—‡ Ubingwa wa Ligi kuu 2021/22โœ…๏ธ
โ—‡ Ubingwa wa kombe kombe la shirikisho TZ 2021/22โœ…๏ธ

โ—‡ Ubingwa ngao ya jamii 2022โœ…๏ธ
โ—‡ Ubingwa wa Ligi Kuu 2022/23โœ…๏ธ
โ—‡ Ubingwa wa kombe la shirikisho TZ 2022/23โœ…๏ธ

โ—‡ Ngao ya jamii 2023โŒ๏ธ
โ—‡ Ubingwa wa Ligi Kuu 2023/24โœ…๏ธ
โ—‡ Ubingwa wa kombe la shirikisho TZ 2023/24โœ…๏ธ
 
โ—‡ Ubingwa wa ngao ya jamii โœ… 
โ—‡ Ubingwa wa Ligi kuu 2024/25 ๐Ÿ”œ
โ—‡ Ubingwa wa Kombe la shirikisho ๐Ÿ”œ 

๐Ÿ”ฐ...Ukiulizwa UBAYA UBWELA ni nini? Waambie ndio huu walioufanya Yanga SC kuanzia 2021 mpaka sasa tunapoukaribia ubingwa mwingine wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....