TANZANIA YATINGA KOMBE LA DUNIA KRIKETI



Timu ya Taifa (Tanzania) ya Kriketi chini ya miaka 19 imefuzu fainali za Kombe la Dunia kwenye mchezo wa Kriketi baada ya leo kuibuka washindi dhidi ya Sierra Leone.

Ushindi wa leo dhidi ya Sierra Leone umeipa ubingwa Tanzania katika michuano ya Kufuzu Kombe la Dunia Kriketi ambayo imefanyika jijini Lagos, Nigeria.

Fainali za Kombe la Dunia za mchezo huo zitafanyika mwakani (2026 ICC U19 Men’s World Cup).


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....