VIONGOZI WA CCM KATIKA PICHA YA PAMOJA WALIPOKUTANA ZANZIBAR

 

 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, walipokutana Ikulu Zanzibar leo Jumatatu, tarehe 14 Aprili 2025. Mwingine pichani ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Mohamed Dimwa.

  

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

SHEREHE ZA DKT. CHANDE KUSIMIKWA UASKOFU MKUU KANISA LA KARMELI ZAFANA

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

ASKOFU CHANDE ATOA MSAADA WA MAZIWA, AWAOMBEA WATOTO NJITI

YANGA YACHINJA NG'OMBE 20 ZA PILAU TABORA