KUMEKUCHA MKUTANO MKUU MAALUMU WA UCHAGUZI WA MAKUNDI UBUNGE VITI MAALUMU UWT

 

Wanachama wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania (UWT), wakiserebuka wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa wabunge wa Viti Maalumu kupitia makundi.


Mkutano huo uliohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 900 umefunguliwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mary Chatanda kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 2, 2025.

Mwenyekiti Chatanda akifungua mkutano huo.


Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, akisimamia mkutano huo wa uchaguzi.

Shadya Karume Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume akitambulishwa.
Fatma Karume Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume.

Wajumbe kutoka mikoa mbalimbali.


Baadhi ya wakuu wa mikoa.




IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...