MAMBO BAMBAM UCHAGUZI MKUTANO MKUU MAALUMU WA UMOJA WA WAZAZI CCM

Wanachama wa Umoja wa Wazazi wa CCM wakiserebuka wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa wabunge na wawakilishi wa Viti maalumu kupitia Umoja huo.

Mkutano huo uliohudhuriwa na wajumbe 710 na wagombea 33 umefunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mongella kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti Mosi.









 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...