TUTAJENGA KIWANDA CHA KUCHAKATA MACHUNGWA MUHEZA - DKT. SAMIA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga kiwanda Cha kuchakata machungwa na Matunda mengine.

Ametoa ahadi hiyo katika mkutano wa kampeni za CCM Mjini Muheza mkoani Tanga Septemba 29,2025.





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE