DKT. NCHIMBI AKUTANA NA MWAMOTO KILOLO


Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nafasi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na Mbunge wa zamani  wa Jimbo la Kilolo,Ndugu Venance Mwamoto mara baada ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wake wa hadhara wa kampeni uliofanyika leo Alhamis Septemba 25,2025 katika uwanja wa Isele, Ilula wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-