KAMPENI ZA MUSOMA VIJIJINI: KIJIJI KWA KIJIJI

Prof Muhongo tayari amepiga kampeni ndani ya Vijiji 40 kati ya 68 vya Jimbo la Musoma Vijijini.


Kijiji kwa kijiji maana yake:
Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kila kijiji kwa miaka mitano iliyopita na ile mitano ijayo (Ilani za Uchaguzi za CCM za 2020-2025 & 2025-2030), na Dira ya Maendeleo ya Taifa (2025-2030)

Leo, Prof Muhongo alikuwa ndani ya Kata ya Nyegina akipiga kampeni kwenye vijiji viwili (Nyegina & Mkirira)....Angalia na sikiliza viambatanisho vya hapa!

Timu ya Kampeni
Jimbo la Musoma Vijijini 
Wed, 24 Sept 2025





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-