Prof Muhongo tayari amepiga kampeni ndani ya Vijiji 40 kati ya 68 vya Jimbo la Musoma Vijijini.
Kijiji kwa kijiji maana yake:
Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kila kijiji kwa miaka mitano iliyopita na ile mitano ijayo (Ilani za Uchaguzi za CCM za 2020-2025 & 2025-2030), na Dira ya Maendeleo ya Taifa (2025-2030)
Leo, Prof Muhongo alikuwa ndani ya Kata ya Nyegina akipiga kampeni kwenye vijiji viwili (Nyegina & Mkirira)....Angalia na sikiliza viambatanisho vya hapa!
Timu ya Kampeni
Jimbo la Musoma Vijijini
Wed, 24 Sept 2025
Comments