SERIKALI KUNUNUA MTANBO WA KUONDOA MAGUGU MAJI ZIWA JIPE -DKT. SAMIAI

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali yake imetenga sh. bil. 1.9 za kununua mitambo itakayosaidia kuondoa magugu maji katika ziwa Jipe wilayani Mwanga Kilimanjaro pamoja na maziwa mengine nchini. 


Anebainisha hilo alipokuwa akijinadi katika mkutano wa kampeni za CCM kwenye Uwanja wa Cleopa Msuya Septemba 30,2025.



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM