WANAWAKE RUANGWA WAAPA KUMJAZIA KURA DKT. SAMIA

Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) Wiaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wakiwa wamebeba ndoo na nyungo katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Mjini Ruangwa leo Septemba 24, 2025.

Akina mama hao wamesema wamebeba vifaa hivyo ikiwa ni ishara kuja kumjazia kura kura za kishindo Dkt. Samia, wabunge na madiwani wa CCM siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025.











 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MBINU ZITAKAZOKUFANYA USIISHIWE PESA

DKT. MIGIRO AKIWASHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA MAKAMBAKO

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

LEO NI LEO KAMPENI ZA DKT. SAMIA SONGWE

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

CHONGOLO AMKUMBUKA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO-